JENGO JIPYA LA UPASUAJI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA TABORA

Posted on: October 18th, 2019

Hospitali ya rufaa mkoa wa Tabora imeanza matumizi ya jengo jipya la upasuaji. Jengo hilo lenye vifaa vya kisasa limekuwa mkombozi kwa wakazi wa mkoa huo wanao hitaji huduma ya upasuaji.